UTANGULIZI WA SOMO LA KWANZA
Maana ya neno Mungu
Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yoh 4:24
Mungu amejifunua zaidi kama Mimi Niki ambaye Niko katika utatu mtakatifu yaani Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.
KIINI CHA SOMO
Tabia za Mungu
Baada ya kuona Neno Mungu na maana yake, sasa tutatazama kwa undani tabia za Mungu.
1. Mungu ni mtakatifu.
somo litaendelea...
No comments:
Post a Comment