Tuesday, 21 July 2015

TABIA ZA MUNGU

UTANGULIZI WA SOMO LA KWANZA

Maana ya neno Mungu

Mungu ni Roho, nao wamwabuduo yeye imewapasa kumwabudu katika roho na kweli. Yoh 4:24
 Mungu amejifunua zaidi kama Mimi Niki ambaye Niko katika utatu mtakatifu yaani Mungu Baba, Mwana na Roho Mtakatifu.

KIINI CHA SOMO

Tabia za Mungu

Baada ya kuona Neno Mungu na maana yake, sasa tutatazama kwa undani tabia za Mungu.

1. Mungu ni mtakatifu.

      somo litaendelea...

No comments:

Post a Comment